HUYU NDIYE ALIYEMWAGIWA TINDIKALI VISIWANI ZANZIBAR, DKT. SHEIN AMJULIA.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein, akimsikiliza, Sheha wa Shehia  ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Unguja, Mohamed Saidi Kidevu,(kulia) aliyelazwa Hospitali ya Mnazi Mmoja mjini Zanzibar baada ya kumwagiwa Tindikali na Mtu asiyejuilikana huko maeneo ya Tomondo juzi wakati alipokuwa akirudi kuchota maji na kuelekea nyumbani kwake. Sheha huyo anaendelea kupatiwa matibabu kwenye Hospitali ya Mnazi mmoja (wa pili kulia) ni  Kaka yake Sheha Sudu Mgeni Saidi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,akimuangalia Sheha wa Shehia  ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Unguja,Mohamed Saidi Kidevu,(kulia) jinsi alivyoathirika na Tindikali aliyomwagiwa na Mtu asiyejuilikanwa  huko Tomondo juzi wakati alipokuwa akirudi kuchota maji na kuelekea nyumbani kwake, wakati Rais alipomtembelea kumjulia hali Sheha huyo yupo katika Hospitali ya Mnazi mmoja .Kushoto Dkt.Slim Mohamed Mgeni. Picha na Ramadhan Othman Ikulu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI