JAAZI KUNOGESHA REDDS MISS ARUSHA

Na Woinde Shizza,Arusha

Jahazi morden tarabu ikiwa chini wa muimbaji mashuhuri Mzee Yusuphy inatarajia kuinogesha usiku wa kumsaka mlimbwende wa mkoa wa Arusha (Redds Miss Arusha) inatarajiwa kufanyika June nane mwaka huu katika ukumbi wa triple A uliopo jijini apa.

Akizungumza na waandishi wa habari muandaaji wa shindano hilo Phidesia Mwakatalima alisema kuwa shindano hilo litafanyika usiku wa jumamosi june nane katika uwanja wa ukumbi wa Triple A  uliopo ndani ya jiji la Arusha.

Alisema kuwa jumla ya walibwende kumi na tano 15 kutoka katika vitongoji vitatu vya jiji la Arusha ambapo alivitaja kuwa ni pamoja na kitongoji cha Njiro,Arusha mjini(Arusha city cetre)pamoja na kitongoji cha Monduli.

Alibainisha kuwa mpaka sasa warembo wameshaingia kambini wameanza kujifua kwa ajili ya shindano hilo huku akibainisha kuwa kwa mwaka huu lazima mrembo wa Tanzania (Redds Miss Tanzania )atokee mkoa wa Arusha

Alisema kuwa zawadi mbalimbali zitatolewa ikiwemo kuwasomesha warembo katika vyuo mbalimbali lungha ya kiswahili ,kingereza pamoja na kifaransa.

kwa upande wa wathamini waliothamini shindano hili walisema kuwa ni pamoja na perfect choice super markety,libeneke la kaskazini blog,trile A fm,Radio 5 fm,sunrise Fm,Mambo Jambo Fm,Alayance france,Geo Securty,Cassaranda wear,Meru Spring Water Pamoja na Otakef
Motel.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.