KAMPUNI YA SIMU ZA MIKONONI YA TIGO YAKABIDHI VITABU ELFU MOJA SHULE ZA MSINGI KAKOLA A NA KAKOLA B WILAYANI KAHAMA MKOA SHINYANGA
.Diwani wa kata ya Bulyanhulu wilayani Kahama Bw.Joseph
Makoba akimkabidhi vitabu mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kakola A,
Bi.Joyce Lwanji kutoka kampuni ya simu za mikononi Tigo. Jumla ya vitabu
elfu moja vilitolewa na kampuni ya Tigo katika kuchangia elimu kwenye
shule hiyo, kulia ni meneja wa Tigo kanda ya ziwa Bw. Joseph Mutalemwa.
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kakola A wilayani Kahama, Bi.Joyce Lwanji akiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi wake mara baada ya kupokea vitabu toka kampuni ya simu za mikononi Tigo jumla ya vitabu elfu moja vilitolewa na kampuini hiyo.
Diwani wa kata ya Bulyanhulu wilayani Kahama Bw.Joseph Makoba akimkabidhi vitabu mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kakola B, Bw.Raphael Kirega kutoka kampuni ya simu za mikononi Tigo. Jumla ya vitabu elfu moja vilitolewa na kampuni ya Tigo katika kuchangia elimu kwenye shule hiyo, kulia ni meneja wa Tigo kanda ya ziwa Bw. Joseph Mutalemwa.
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kakola A wilayani Kahama, Bi.Joyce Lwanji akiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi wake mara baada ya kupokea vitabu toka kampuni ya simu za mikononi Tigo jumla ya vitabu elfu moja vilitolewa na kampuini hiyo.
Diwani wa kata ya Bulyanhulu wilayani Kahama Bw.Joseph Makoba akimkabidhi vitabu mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kakola B, Bw.Raphael Kirega kutoka kampuni ya simu za mikononi Tigo. Jumla ya vitabu elfu moja vilitolewa na kampuni ya Tigo katika kuchangia elimu kwenye shule hiyo, kulia ni meneja wa Tigo kanda ya ziwa Bw. Joseph Mutalemwa.
Comments