KUTOKA KWENYE VIWANJA VYA BUNGENI MJINI DODOMA LEO


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili 30,2013. Katikati ni Mbunge wa Kibaha Vijijini, Abuu Hamoug Jumaa.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na  na Katibu Mkuu wa Wizara ya maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi (kushoto) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dar es salaam Apprili 30,2013.
Waziri wa Maliasili na Utalii (wapili Kulia)na Naibu wake, Lazaro Nyalandu wakiteta na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Maimuna Tarishi (wapili kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Nuru Milao kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 30, 2013.Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.