Wafanyakazi wa sekta mbalimbali wakinyanyua juu mikono walipokuwa wakiimba wimbo wa mshikamano, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kimkoa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Ilala, Dar es Salaam leo.
Wafanyakazi wa Shirika la Afya Muhimbili wakionesha kumhudumia 'mgonjwa' wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kimkoa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Ilala, Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Afya Muhimbili wakisubiri kwenda kwenye maadhimisho ya Mei Mosi
Msafara wa Shirika la Afya Muhimbili ukiwa katika maandamano kwenda kwenye maadhimisho hayo
Maandamano ya wafanyakazi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akihutubia wakati wa maadhimisho hayo
Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Vyakula na Dawa (TFDA)
Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
Msanii akionesha vimbwanga vyake
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick 9kulia) akimkabidhi cheti Ofisa Utumishi Msaidizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), pamoja na zawadi ya sh. mil 1 baada ya kuibuka kuwa mfanyakazi bora.
Viongozi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja
Bendi ya Magereza 'wana Nkote Ngoma' wakitumbuiza wakati wa maadhimisho hayo.Elly Chinyama ambaye ni mtototo wa mwanamuziki marehemu Chinyama Chiaza, Mpiga drum, Bakari Kisi, ambaye ni mtoto wa Kisi Rajabu aliwahi kuwa mwanamuziki wa Bendi ya Kilwa Jazz, Mpiga Ridhim Kassim Hassan, babake alikuwa mpiga ridhimu wa Magereza Jazz, Kassim Hssan. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)
Wafanyakazi wa Shirika la Afya Muhimbili wakionesha kumhudumia 'mgonjwa' wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kimkoa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Ilala, Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Afya Muhimbili wakisubiri kwenda kwenye maadhimisho ya Mei Mosi
Msafara wa Shirika la Afya Muhimbili ukiwa katika maandamano kwenda kwenye maadhimisho hayo
Maandamano ya wafanyakazi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akihutubia wakati wa maadhimisho hayo
Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Vyakula na Dawa (TFDA)
Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
Msanii akionesha vimbwanga vyake
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick 9kulia) akimkabidhi cheti Ofisa Utumishi Msaidizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), pamoja na zawadi ya sh. mil 1 baada ya kuibuka kuwa mfanyakazi bora.
Viongozi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja
Bendi ya Magereza 'wana Nkote Ngoma' wakitumbuiza wakati wa maadhimisho hayo.Elly Chinyama ambaye ni mtototo wa mwanamuziki marehemu Chinyama Chiaza, Mpiga drum, Bakari Kisi, ambaye ni mtoto wa Kisi Rajabu aliwahi kuwa mwanamuziki wa Bendi ya Kilwa Jazz, Mpiga Ridhim Kassim Hassan, babake alikuwa mpiga ridhimu wa Magereza Jazz, Kassim Hssan. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)
Comments