MABONDIA WATUNISHIANA MISULI KUZIDUNDA LEO KWENYE MEI MOSI PTA SABA SABA

Bondia Amosi Mwamakula kushoto akitunishiana misuli na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Rais wa IBF Africa Onesmo Ngowi katikati akionesha mzani waliopimia mabondia Thomasi Mashali kushoto na Fransic Cheka kulia katikati ni Promota wa mpambano huo Adamu Tanaka picha na mpambano wao utakaofanyika siku ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Amosi Mwamakula kushoto akitunishiana misuli na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mabondia Yusuph Jibaba kushoto akitunishiana misuli na Shabani Mhamila 'Star Boy' baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa mei mosi utakaofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akipimwa afya katikati ni mpinzani wake Amosi Mwamakula picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Shabani Mhamila 'Star Boy' akipimwa Afya leo kwa ajili ya mpambano wake
Bondia Amos Mwamakula akipimwa Afya
Baadhi ya mabondia watakaopambana kesho wakiwa katika picha ya poz wa pili kushoto ni Thomas Mashali,,Shabani Mhamila 'Star Boy' Ibrahimu Class' King class Mawe' wengine ni wapambe wao katika mchezo huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*