MAJERUHI WAONGEZEKA NA KUFIKIA 66
Lema hospitaliniMbunge
wa Arusha mjini Godbless Lema akiwa na mbunge wa Arumeru Joshua Nassari
wametoa damu kwa ajili ya majeruhi walioumia katika mlipuko huo.
Lema
amewahimiza wakazi wa Arusha na vijana kujitolea kwa wingi kuchangia
damu ili kuokoa maisha ya majeruhi. Watu wengi wameitikia wito na
wanaendelea kujitolea kuchangia damu kama ishara ya kumuunga mkono
mbunge wao.
Comments