MRADI WA WATU KUOSHWA MIGUU WABUNIWA SOKO LA MAHAKAMA YA NDIZI MABIBO DAR

 Vijana wakiosha miguu ya wateja waliokuwa wanatoka Soko la Mahakama ya Ndizi lililojaa matope  eneo la Mabibo, Dar es Salaam jana. Katika mradi huo uliobuniwa katika soko hilo lililokithiri kwa uchafu, huwapatia vijana hao fedha za kujikimu na maisha kwa kumlipisha kila anayeogeshwa sh 200.  (PICHA ZOTE NA RAPHAEL GWASSA)
 Mmoja wa wateja waliotoka sokono hapo akiogeshwa  viatu vyake
                                                                               Hali ya soko ilivyo
 Kwa kweli hali inatisha na kuhatarisha afya za wakazi wa Jiji la Dar esa Salaam wanaokwenda kupata mahitaji hapo

Mteja akijiosha miguu baada ya kutoka sokoni hapo. Licha ya kujiosha lakini hulipishwa sh 200

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI