NHIF YANOGESHA MAONESHO YA HIFADHI KWA UPIMAJI
Rais
Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti,
Raphael Mwamoto wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakati alipotembelea
banda la NHIF ambalo linatoa huduma ya upimaji afya bure na elimu ya
Bima ya Afya.
Rais
Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na kitabu cha mtindo bora wa maisha ambacho
kinafundisha namna ya kusihi ili kuepukana na maradhi yasiyoambukiza
ambayo yanazidi kuongezeka kila kukicha.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akifurahi jambo na Ofisa Elimu kwa Umma, Grace Michael alipotembelea banda la Mfuko.
Mkurugenzi
wa Masoko na Utafiti wa NHIF, Raphael Mwamoto akitoa maelezo kwa Waziri
wa Kazi na Ajira, Mama Kabaka na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais,
Muungano, Samia Suluhu ambao pia walipata huduma ya upimaji wa afya zao.
Waziri Kabaka akipima shinikizo la damu kwenye banda la NHIF ambalo lilitoa huduma bure Wananchi wakiwa kwenye foleni ya upimaji wa afya bure kwenye banda la NHIF Rais Dkt. Kiket Kikwete akiwa katika banda la NHIF ambapo alifurahishwa na huduma zinazotolewa
Comments