NMB YATUNUKIWA KWA KUFADHILI MKUTANO MKUU WA 29 WAJUMUIYA ZA TAWALA ZA MITAA TANZANIA
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akimkabidhi Mkuu wa Idara ya Mahusiano Biashara ya
Serikali NMB, Domina Feruzi cheti kama ishara ya shukrani kwa benki ya
NMB kwa kuwa mdhamini mkuu wa Mkutano Mkuu wa 29 wa Wajumuia za Tawala
za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Maafisa wa benki ya NMB
alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa mkutano wa 29 wa Wajumuia
za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni jijini Arusha
Comments