Rais Kikwete akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Rene Meza kabla ya kuanza kwa mazungumzo ya mkutano wa Smart Partnership, utakaofanyika mwisho wa mwezi Juni, mwaka huu na kukutanisha zaidi ya wadau 500, toka nchi mbalimbali duniani. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu hivi karibuni. (Picha zote na Ikulu)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza wakati alipokutana naye Ikulu jijini Dar es Salaam hivi karibuni kabla yakuanza kwa  hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mkutano wa Smart Partnership utakaofanyika mwisho wa mwezi Juni na kukutanisha zaidi ya wadau 500 toka nchi mbalimbali duniani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza wakati alipokutana naye Ikulu jijini Dar es Salaam hivi karibuni kabla yakuanza kwa  hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mkutano wa Smart Partnership utakaofanyika mwisho wa mwezi Juni na kukutanisha zaidi ya wadau 500 toka nchi mbalimbali duniani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.