Rais Kikwete akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza wakati alipokutana naye Ikulu jijini Dar es Salaam hivi karibuni kabla yakuanza kwa hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mkutano wa Smart Partnership utakaofanyika mwisho wa mwezi Juni na kukutanisha zaidi ya wadau 500 toka nchi mbalimbali duniani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza wakati alipokutana naye Ikulu jijini Dar es Salaam hivi karibuni kabla yakuanza kwa hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mkutano wa Smart Partnership utakaofanyika mwisho wa mwezi Juni na kukutanisha zaidi ya wadau 500 toka nchi mbalimbali duniani.
Comments