SAKATA LA GESI MTWARA: WABUNGE CCM WACHARUKA
MWANANCHI.Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakifanya doria katika mitaa ya Mji wa Mtwara
DODOMA.
WABUNGE wa CCM wamekuja juu na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kuwafukuza kazi vigogo wa Serikali mkoani Mtwara, wakiwamo Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya kutokana na kile walichoeleza ni uzembe uliochangia vurugu zinazoendelea za wananchi kugomea gesi kutoka nje ya mkoa huo.
WABUNGE wa CCM wamekuja juu na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kuwafukuza kazi vigogo wa Serikali mkoani Mtwara, wakiwamo Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya kutokana na kile walichoeleza ni uzembe uliochangia vurugu zinazoendelea za wananchi kugomea gesi kutoka nje ya mkoa huo.
Wengine waliopendekezwa kuchukuliwa hatua ni
kamati nzima ya ulinzi na usalama ya ngazi ya mkoa na wilaya ya Mtwara
mjini, wakiwamo makamanda wa polisi.
Kutokana na hali hiyo, vigogo kadhaa mkoani humo
wako hatarini kukumbwa na ghadhabu hiyo akiwamo Mkuu wa vikosi vya Jeshi
la Wananchi Tanzania (JW
Comments