TIGO YAFANIKISHA HAFLA YA MABLOGGER DAR

Baadhi ya wamiliki wa Mitandao ya Kijamii (BLOGGERS), wakishindana kucheza muziki kuwania Ipad na simu wakati wa hafla waliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo jana kwenye Hoteli ya New Africa, Dar es Salaam.
Mmiliki wa Kajuna Blog, akikabidhiwa zawadi ya IPAD, na Ofisa wa Biashara  na masoko wa Tigo, Gaudance Mushi (kulia)  baada ya kuwa mshindi wa kwanza wa kucheza muziki katika hafla hiyo.
Blogger mwanamke aliyeshinda kucheza muziki akipatiwa zawadi ya Ipad mpya
Mablogger wanawake wakishindana kucheza muziki katika hafla hiyo
Mmiliki wa Blogu ya Kamanda wa Matukio, Kamanda Richard Mwaikenda (aliyevaa shati la drafti kushoto) akiwa na mabloga wenzake wakishuhudia mpambano huo
 Mablogger, Kutoka kushoto ni Adam Mzee (CCM Blog), William Malecela (Wananchi Blog) na John Bukuku wa Fullshangwe Blog wakiwa na furaha wakati wa hafla hiyo.
 Mhariri wa gazeti la Michezo la StaaSpoti, Julius Kihampa (kushoto) akiwa na John Kitime (katikati) pamoja na
 Mmiliki wa Blog ya Habari Mseto, Francis Dande (katikati) akiwa na mablogger wengine.
 Mablogger wakibadilishana mawazo pamoja na maofisa wa Tigo
 Tanzanite Band ikitumbuiza katika hafla hiyo ya kukata na shoka
 Mablogger wakisikiliza wakati mtoa mada Raymond Maganga akielezea jinsi ya kuboresha Blog kibiashara
 Boss wa kampuni ya DeSiaMore I.T & Arts, Raymond Maganga (kushoto), akitoa mada ya jinsi ya kuboresha Blog.
Boss wa kampuni ya DeSiaMore I.T & Arts, Raymond Maganga (kushoto) na Emmanuel Feruz ambaye ni Google Student Ambassador wa IFM, wakifurahia jambo wakati wa hafla hiyo.
                                    Akina dada mablogger wakishindana kucheza muziki


 Blogger wa kike akipatiwa zawadi ya simu baada ya kuwa mshindi wa pili
Mablogger wanaume wakishindana vikali kucheza muziki kuwania zawadi za IPAD na Simu
                               Naye Blogger huyu hakuwa nyumba katika pambano hilo
                                           Kajuna akiwa katika miondoko mikali
 Jamson akisakata muziki alipokuwa akishindana na Kajuna fainali shindano hilo
Jamson (kushoto)akizawadiwa simu baada ya kuwa mshindi wa pili kusakata muziki kwa upande wa mablogger wa kiume

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*