ULINZI WAENDELEA KUWA MKALI MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MFAWIDHI WILAYA YA IRINGA JIONI HII......LIVE
Askari wa FFU wakiendelea kulinda
eneo la mahakama ya wilaya ya Iringa jioni ya leo huku watuhumiwa
wakiwa bado kutoka mahakamani
Ulinzi mkali kweli kweli
Karani wa mahakama Bi , Grace akiita majina ya wadhamini mahakamani hapo
Pamoja na kesi hiyo kuvuta watu wengi bado shughuli za mahakama ziliendelea kama kawaida pichani na hakimu wa mahakama ya mwanzo bomani Mh. Alois Masua akiendelea kuwajibika kwa wengine
Wakuu wa FFU mkoa wa Iringa wakiwa kikazi zaidi nje ya mahakama hiyo jioni ya leo katikati ni mkuu wa FFU Bw Said Abdalah Mnunka ambae amesababisha amani na utulivu katika mji wa Iringa
Ulinzi mkali kweli kweli
Karani wa mahakama Bi , Grace akiita majina ya wadhamini mahakamani hapo
Pamoja na kesi hiyo kuvuta watu wengi bado shughuli za mahakama ziliendelea kama kawaida pichani na hakimu wa mahakama ya mwanzo bomani Mh. Alois Masua akiendelea kuwajibika kwa wengine
Wakuu wa FFU mkoa wa Iringa wakiwa kikazi zaidi nje ya mahakama hiyo jioni ya leo katikati ni mkuu wa FFU Bw Said Abdalah Mnunka ambae amesababisha amani na utulivu katika mji wa Iringa
Comments