ULINZI WAENDELEA KUWA MKALI MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MFAWIDHI WILAYA YA IRINGA JIONI HII......LIVE

 Askari  wa FFU  wakiendelea  kulinda  eneo la mahakama ya  wilaya ya Iringa  jioni ya leo  huku watuhumiwa  wakiwa bado kutoka mahakamani
 
 Ulinzi  mkali kweli kweli
 
 Karani  wa mahakama  Bi , Grace  akiita majina ya  wadhamini mahakamani hapo
 Pamoja na kesi hiyo  kuvuta  watu  wengi bado shughuli za mahakama  ziliendelea kama kawaida  pichani na hakimu  wa mahakama ya mwanzo bomani Mh. Alois Masua  akiendelea  kuwajibika kwa  wengine
 Wakuu  wa  FFU mkoa  wa Iringa  wakiwa kikazi zaidi nje ya mahakama hiyo  jioni ya leo katikati ni mkuu  wa FFU Bw Said Abdalah  Mnunka ambae amesababisha amani  na utulivu katika mji  wa Iringa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.