Waziri wa Kilimo na Chakula ENG Christopher Chiza na Mkurugenzi wa Kiwanda cha Mbolea ya kupandia
Waziri wa Kilimo na Chakula ENG Christopher Chiza na
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Mbolea ya kupandia Ijulikanayo kama Minjingu
Mazao yenye Virutubisho vya Phosphate, Urea na Sulphur kilichopo mkani
Arusha wakijadiliana jambo nje ya ukumbi wa Loyal Villege Dodoma wakati
wa Semina ya siku mbili kuhusiana na Utoaji wa Pembejeo za Ruzuku kwa
wakulima Jana.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Mazao ya kilimo Nchini DR. Mshindo
Msolla Akifafanua jambo mbele ya Wakuu wa mikoa wa Wilaya na Wabunge
kwenye Semina kuhusu Utoaji wa Pembejeo za Ruzuku kwa wakulima jana
mjini Dodoma.
PICHA NA JOHN BANDA
Comments