Waziri wa Kilimo na Chakula ENG Christopher Chiza na Mkurugenzi wa Kiwanda cha Mbolea ya kupandia

 

Waziri wa Kilimo na Chakula ENG Christopher Chiza na Mkurugenzi wa Kiwanda cha Mbolea ya kupandia Ijulikanayo kama Minjingu Mazao yenye Virutubisho vya Phosphate, Urea na Sulphur kilichopo mkani Arusha wakijadiliana jambo nje ya ukumbi wa Loyal Villege Dodoma wakati wa Semina ya siku mbili kuhusiana na Utoaji wa Pembejeo za Ruzuku kwa wakulima Jana.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Mazao ya kilimo Nchini DR. Mshindo Msolla Akifafanua jambo mbele ya Wakuu wa mikoa wa Wilaya na Wabunge kwenye Semina kuhusu Utoaji wa Pembejeo za Ruzuku kwa wakulima jana mjini Dodoma.
PICHA NA JOHN BANDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA