Wafanyakazi
NHIF jitumenibilakujalimuda- BaloziMchumo.
Na
Grace Michael
WATUMISHI waMfukowaTaifawaBimayaAfya
(NHIF)
wametakiwakufanyakazibilakujalimudawaowakaziwaliopangiwakutokananaumuhimuwamajukumuwaliyokabidhiwayakutoahudumazamatibabukwawanachamanakuhakikishaWatanzaniawotewanakuwakwenyeutaratibuwabimayaAfya.
AkifunguaBarazaKuu la WafanyakazimjiniBagamoyo
leo, MwenyekitiwaBodiwa NHIF, Balozi Ali Mchumo,
alisemakuwaililengo la
kuwafikiawatanzaniawenginawanachamawaMfukohuokupatahudumazilizo bora nivyemawafanyakaziwakaendelezautamaduniwalioujengawakufanyakazikwakujitumabilakujalikumalizikakwamudawakaziuliopangwa.
“Historiamliyoijengayakufanyakazibilakuchokanivyemamkaiendeleza,
jukumutulilokabidhiwanikubwanazitohivyokilammojakwanafasiyakeahakikisheanajitumanakwakuzingatiakanuninataratibuzakazi,”
alisisitizaBaloziMchumo.
Akizungumziauimarishajiwashirikahilo,
aliagizawatumishihaokuhakikishawanajiridhishakatika mambo
yotehususanyauhakikiwamadaiyawatoahudumakutokananakuwepokwaudanganyifuwamadaiunaofanywanabaadhiyawatoahudumailikuhakikishafedhazinazolipwanaMfukozinalipwakwamatumizihalaliyawanachamanasivinginevyo.
Kuhususuala
la nafasizawategemezikwamwanachamamchangiaji,
alisemakuwamwongozouliotolewaunaoelekezawategemeziwamwanachamaufuatweilihudumainayotolewanaMfukoinawahusuwalengwamojakwamojaambaoniMke
au mme, watotonawazaziwamwanachamamchangiaji.
“Hakikishenihudumainakuwanikwawalengwanahatauandaajiwavitambulishoufanyikekwamakininakujiridhishazaidiilikitambulishokitolewekwamlengwaambayeametimizamatakwayakuwamtegemezi
au mnufaikawaMfuko,” alisema.
BaloziMchumoalikwendambalizaidikwakuwatakawatumishiwaMfukohuokuhakikishawanaendelezadhanayaushirikishanajiilikuletaufanisizaidikatikakazi.
KwaupandewaBodi,
alisemaitahakikishainalipakipaumbelesuala la kuuelimishaummakuhusiananadhanayabimayaafyailikutimizamalengoyalipoyaWatanzaniakujiungana
NHIF/CHF.
NayeNaibuMkurugenziwa
NHIF, HamisMdeewakatiakitoanenola
shukranialisisitizazaidikuzingatiamaagizoyaliyotolewanaMwenyekitiwaBodikutokananaukwelikwambaWatanzaniawanayomatumainimakubwanaMfukohasakatikautoajiwahudumazamatibabu.
KwaupandewaMwenyekitiwa
Chama cha Wafanyakazi, Baraka Maduhu,
alisemakuwanivyemawafanyakaziwakatambuakuwahakinawajibunivituvinavyokwendasambambahivyokilammojaahakikisheanatimizawajibu
wake ipasavyo.
Comments