Waigama, Matinyi, Kiboko waelezea maana ya Kichuri.

 Mubelwa Bandio wa Changamoto Yetu Blog akifanya mahojiano na Mwenyekiti wa kamati ya Kichuri Day Bwn. Waigama siku ya Jumamosi May 25, 2013 Ellicott City, Marylnd.
 Mubelwa Bandio akifanya mahojiano na Kiboko (T-shirt nyekundu) na Mobhare Matinyi.
Wakurya wakicheza Ritungu

Wakurya waishio maeneo ya Washington DC na vitongozi vyake, jumamosi ya Mei 25 mwaka huu walikutana na kwa mara ya kwanza ya kujuana, kujadiliana kuhusu kabila lao na pia kula chakula cha kikwao.

Katika siku hiyo waliyoiita Kichuri Day, kulikuwa na mambo mengi yaliyoakisi maisha yao ya nyumbani Tanzania ikiwemo chakula, muziki wa kikwao n.

Mubelwa Bandio anayo taarifa kamili.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.