WAZIRI MKUU AFUNGUA SEMINA YA ALAT
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunge wa Singida
Mashariki, Tundu Lisu kwenye uwanaj wa ndege wa Kilimanjaro alikowasili
May 8,2013 ili kufungua mkutano Mkuu wa ALAT jijini Arusha, May 9,
2013. Lisu pamoja na wabunge wengine walikwenda Arusha kujionea athari
za mlipuko wa bomu kwenye Kanisa Kstoliki la Olasiti.Katikati ni Mbunge
wa Igalula Athumani Mfutakamba.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Hawa Ghasia (kushoto) na Mwenyekiti wa ALAT , Dr. Didas Masaburi baada ya kufungua mkutano Mkuu wa ALAT kwenye Ukumbi wa Sundown Carnival jijinii Arusha, May 9,2013
Comments