Wachezaji wa Yanga wakishangilia huku wakiwa na Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara walilokabidhiwa baada ya kuwabwaga watani wao wa jadi Simba mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.
Binti shabiki wa Yanga akishangilia huku akiwa na kombe bandia
Yanga wakishangilia bao la kwanza dhidi ya Simba lililofungwa na Kavumbagu katika dakika ya tano kipindi cha kwanza
Yanga wakishangilia bao
Juma Kaseja golikipa wa Sima akiwa chini baada ya kugonga nguzo alipokuwa akiokoa hatari
Mwamuzi Martine Saanya wa mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba, akiwa chini baada ya kugongana kwa bahati mbaya na mchezaji Kavumbagu wa Yanga wakati wa alipokwenda kuamulia ugomvi.
Kocha msaidizi wa Simba Jamhuri Kihwelu 'Julio' akiteta jambo na Nahodha wa Yanga Haroub Canavaro baada ye mechi kumalizika
Benchi la Simba likiwa hoi baada ya kufungwa bao lapili na Yanga
Kocha wa Yanga akiwa amebebwa na wachezaji walipokuwa wakishangilia ubingwa
Yanga wakishangilia kianika
Yanga wakivishwa medali za ushindi
Kavumbagu wa Yanga akifunga kwa kichwa bao la kwanza dhidi ya Simba
Simba lazima achinjwe
Simba wakiwa na furaha kabla ya kufungwa na watani wao wa jadi Yanga
Mashabiki wa Yanga (kulia) na wa Simba kushoto
Yanga ni nderemo kila mahala
Binti shabiki wa Yanga akishangilia huku akiwa na kombe bandia
Yanga wakishangilia bao la kwanza dhidi ya Simba lililofungwa na Kavumbagu katika dakika ya tano kipindi cha kwanza
Yanga wakishangilia bao
Juma Kaseja golikipa wa Sima akiwa chini baada ya kugonga nguzo alipokuwa akiokoa hatari
Moja ya vurugu zilitokea katika mechi hiyo |
Kocha msaidizi wa Simba Jamhuri Kihwelu 'Julio' akiteta jambo na Nahodha wa Yanga Haroub Canavaro baada ye mechi kumalizika
Benchi la Simba likiwa hoi baada ya kufungwa bao lapili na Yanga
Kocha wa Yanga akiwa amebebwa na wachezaji walipokuwa wakishangilia ubingwa
Yanga wakishangilia kianika
Yanga wakivishwa medali za ushindi
Kavumbagu wa Yanga akifunga kwa kichwa bao la kwanza dhidi ya Simba
Simba lazima achinjwe
Simba wakiwa na furaha kabla ya kufungwa na watani wao wa jadi Yanga
Mashabiki wa Yanga (kulia) na wa Simba kushoto
Yanga ni nderemo kila mahala
Comments