ALEX MSAMA ATOA MSAADA KATIKA KITUO CHA YATIMA DAR

 Alex Msama akikabidhi hundi yenye thamani ya sh. milioni 1.2 kwa ajili ya kulipia ada ya wanafunzi walioshindwa kwenda shule kwa ajili ya kudaiwa ada.
 Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla ya kukabidhi vitu mbalimbali kwa ajili ya kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Mwendaliwa. 
 Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akikabidhi magodoro kwa mlezi wa kituo hicho.
 Watoto wa Kituo cha Mwendalewa kilichopo Boko wakipokea msaada wa vifaa mbalimbali kwa ajili kituo hicho kutoka kwa Mwenyyekiti wa Tamasha la pasaka Alex Msama. 
 Sehemu ya msaada uliotolewa na Msama Promosheni.
 Mlezi wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Mwandaliwa, Halima Ramadhani akitoa shukrani kwa msaada aliopata kutoka kwa Kampuni ya Msama Prpmosheni, kwa ajili ya kituo hicho. 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA