Waziri
wa Nchi ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf
Mzee akisisitiza jambo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari
kuhusiana na Bajeti ya Serikali atakayoiwasilisha katika Baraza la
Wawakilishi siku ya Jumatano 12/06/2013,mkutano uliofanyika Ofisini
kwake Vuga mjini Zanzibar.
Baadhi
ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika mkutano wa Waziri wa Nchi
ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee
kuhusiana na Bajeti ya Serikali atakayoiwasilisha katika Baraza la
Wawakilishi siku ya Jumatano 12/06/2013,mkutano uliofanyika Ofisini
kwake Vuga mjini Zanzibar.
Comments