FREEMAN MBOWE AFICHUA MAZITO MLIPUKO WA BOMU KATIKA KAMPENI ZA UDIWANI, ANENA SMG, BASTOLA ZILITUMIKA ARUSHA.
MWENYEKITI wa CHADEMA Freeman Mbowe, amevituhumu vyombo vya
dola kuwa vinawafahamu watu walioshiriki kwenye mlipuko wa bomu
uliotokea juzi katika viwanja vya Soweto kwenye mkutano wa chama hicho.
Mbowe, alisema tukio hilo ni la kupangwa na wamegundua risasi za bunduki aina ya SMG na bastola zilitumika mara baada ya mlipuko huo jambo linalozusha hofu na kudidimiza demokrasia ya vyama vingi.
Wakati Mbowe akitoa tuhuma hizo kwa vyombo vya dola, Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema ameunda timu itakayoongozwa na makamishna wawili (Paul Chagonja na Isaya Mungulu), kwenda mkoani Arusha kuong
Mbowe, alisema tukio hilo ni la kupangwa na wamegundua risasi za bunduki aina ya SMG na bastola zilitumika mara baada ya mlipuko huo jambo linalozusha hofu na kudidimiza demokrasia ya vyama vingi.
Wakati Mbowe akitoa tuhuma hizo kwa vyombo vya dola, Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema ameunda timu itakayoongozwa na makamishna wawili (Paul Chagonja na Isaya Mungulu), kwenda mkoani Arusha kuong
Comments