HISPANIA YAPIGA MTU 10-0, TORRES APIGA 4 NA KUKOSA PENATI JUU!!


Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe Blog kwa msaada wa Sportsmail.com
Wakati mashabiki wengi wakidhani Mabingwa wa soka duniani, timu ya taifa ya Kispania wangewafunga Tahiti mabao zaidi ya 10, hatimaye watoto wa Tahiti wamekaza na kuwazuia vilivyo wapinzania wao na kufungwa maboa 10-0 tu.
Mshambuliaji  Fernando Torres amefunga mabao manne pamoja na kukosa penalti wakati Hispania ikiifumua 10-0 Tahiti katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara.
Alifunga mabao hayo katika dakika za tano, 33, 57 na 78 wakati David Villa alipiga Hat-trick katika dakika za 39,49 na 64, David Silva akafunga mawili dakika za 31 na 89 na Juan Mata pia akafunga dakika ya 66 kuiwezesha Hispania kupaa kileleni mwa Kundi B mbele ya Nigeria, ambao muda huu wanamenyana na Uruguay.
Kikosi cha Hispania kilikuwa: Reina, Albiol, Azpilicueta, Ramos/Navas dk46, Monreal, Martinez, Cazorla/Iniesta dk76, Silva, Villa, Torres na Mata/Fabregas dk69.
Tahiti: Roche, Ludivion, Vallar, Lemaire/Vero dk73, Aitamai, J Tehau, A Tehau/T Tehau dk53, Vahirua, Caroine, Bourebare/L Tehau dk69 na Chong Hue.
Here we go: Fernando Torres was on fire for Spain against Tahiti as the world champions eased to a win
Moto wa nguvu: Fernando Torres alikuwa hatari katika mchezo wa usiku wa kuamkia leo dhidi ya Tahiti
Me too: Barcelona striker David Villa also showed no mercy to the part-timers
Hata mie: Mshambuliaji Barcelona  David Villa  naye alionesha kiwango cha juu
Caught out: Torres slid the ball in at the near post to put Spain in the lead early in the match
Kazi yaanza: Torres akitumbukiza goli la kwanza
CONFEDERATIONS CUP GROUP B
TeamPlayedWonDrawnLostForAgainstPoints
Spain22001216
Nigeria2101733
Uruguay2101333
Tahiti20021160
And another one: Torres rolled home his second of the night and Spain's third
Lingine tena: Torres akiandika kimiani bao la pili
Understated: Torres and his team-mates look underwhelmed after the Chelsea striker netted their sixth

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI