JK AMWAPISHA MWANTUMU MAHIZA KUWA SKAUTI MKUU WA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA

 Rais Jakaya Kikwete akimwapisha, Mwantumu Mahiza kuwa Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania katika hafla iliyofanyika leo Ikulu, Dar es Salaam.
 JK akimkabidhi Mahiza zana za kufanyia kazi
                                     JK akisalimiana na Dk. Salim Ahmed Salim aliyehudhuria hafla hiyo
                                                      JK akipiga picha na Mahiza
 JK akiwa na Mahiza, Dk. Salim Ahmed Salim pamoja Jaji Kiongozi, Fakih Jundu
 JK akiwa katika picha ya pamoja na skauti wakiwemo wabunge
 JK akipiga picha na familia ya Mwantumu Mahiza
 JK akiwa katika picha ya pamoja na wabunge Skauti
 JK akizungumza na baadhi ya wabunge skauti waliohudhuria sherehe za kuapishwa Mwantumu Mahiza
 JK na Mahiza akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa UWT
 JK akiwa katika picha ya pamoja na Maahiza pamoja na Skauti Mkuu aliyemaliza muda wake, Idd Kipingu
 Rais Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na skauti wabunge baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza (kushoto) kuwa Kamishna Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam
 Mahiza akipongezwa na skauti wenzie
Kipingu akimvisha  kofia Mahiza

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.