KIBANDA ALAKIWA NA WANAHABARI LUKUKI DAR

 Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda akiwapungia wanahabari wenzie mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam leo, akitokea Afrika Kusini kufanyiwa matibabu ya jicho alilodhuriwa na watu wasiojulikana waliomvamia alipokuwa akiwasili usiku wa Machi 6, mwaka huu, nyumbani kwake Mbezi Beach, Dar es Salaam. Picha ndogo akilia baada ya kuona umati wa wanahabari hao waliojitokeza kumlaki. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)

 Kibanda akilakiwa na Kiamu Mwenyekiti wa TEF, Makunga
                                                     Kibanda akilakiwa na bosi wake Hussen Bashe
                                           Kibanda akilakiwa na wanahabari lukuki waliofika uwanjani hapo
                                                Kibanda akihojiwa na wanahabari baada ya kuwasili
                                                             Kibanda akizungumza na wanahabari



Kibanda akiondoka kwenda kupanda gari huku akisindikizwa na wahariri wenzie

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI