KIKOSI MAALUM CHA KUPAMBANA NA UJANGILI TANAPA CHAHITIMU MAFUNZO RUAHA NATION PARK
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la hifadhi za taifa TANAPA Ndugu
Allan Kijazi akikagua gwaride la kikosi maalum cha kupambana na ujangili katika
hifadhi za taifa wakati wa ufungaji wa mafunzo hayo yaliyofanyika katika mbuga
ya Ruaha kandokando ya mto Ruaha wakipewa mafunzo hayo na wakufunzi Martin
Mthembu kutoka taasisi ya African Field Rager Training Services ya Afrika
kusini na Genes Shayo ambaye pia ni Mhifadhi TANAPA, kikosi hicho maalum cha
TANAPA kilikuwa na askari 20 wamehitimu mafunzo hayo askari 19 moja
hakufanikiwa kumaliza mafunzo kwa sababu za kiafya, Kivutio kilikuwa kwa askari
mwanamke pekee katika kikosi hicho Aikandaeli Lema ambaye aliweza kufanya
mafunzo kwa kiwango cha juu bila kuwa na tofauti yoyote kiutendaji ya kijinsia
ameweza kufanya mafunzo yote magumu na kulenga shabaha kwa kiwango cha juu
kabisa alimwelezea mkufunzi wa mafunzo hayo Martin Mthembu kutoka Afrika Kusini
na akampa sifa na pongezi nyingi kwa uwezo wake kama mwanamke. PICHA NA KIKOSI
KAZI CHA FULLSHANGWE-RUAHA NATION PARK Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la hifadhi za taifa TANAPA
Ndugu Allan Kijazi akirejea meza kuu mara baada ya kukagua gwaride hilo katika
ufungaji wa mafunzo hayo Kikosi hicho kikitembea kusonga mbele tayari kwa kutoa
heshimza zao kwa mgeni rasmi. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la hifadhi za taifa TANAPA
Ndugu Allan Kijazi akipokea heshima kutoka kwa kikosi hicho wakati alipofunga
mafunzo rasmi ya kukabiliana na ujangili katika hifadhi za taifa kulia ni Adam
Swai Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Iringa na kushoto ni Mkurugenzi wa Uhifadhi
TANAPA Martin Loiboki. Askari wahitimu wa kikosi hicho kushoto ni Frank Anthon
Malema na Mwanamke pekee katika kikosi hicho Aikandaeli Lema wakisoma risala
mbele ya mgeni rasmi wakati wa ufungaji wa mafunzo hayo Wageni waalikwa mbalimbali wakiwa katika hafla ya ufungaji
wa mafunzo hayo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la hifadhi za taifa TANAPA
Ndugu Allan Kijazi akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo hayo askari
Frank Anthon Malema kulia ni Mkurugenzi wa Uhifadhi
TANAPA Martin Loiboki na kushoto ni Mkufunzi wa mafunzo hayo na mhifadhi TANAPA
Genes Shayo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la hifadhi za taifa TANAPA
Ndugu Allan Kijazi akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo hayo askari
Elisamehe Elisafi Mdeme kulia ni Mkurugenzi wa Uhifadhi
TANAPA Martin Loiboki na kushoto ni Mkufunzi wa mafunzo hayo na mhifadhi TANAPA
Genes Shayo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la hifadhi za taifa TANAPA
Ndugu Allan Kijazi akimpongeza John Kijazi baada ya kupokea cheti cha kuhitimu
mafunzo hayo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la hifadhi za taifa TANAPA
Ndugu Allan Kijazi akizungumza na wahitimu wa mafunzo hayo.Martin Mthembu Mkufunzi wa mafunzo hayo kutoka nchini
Afrika Kusini akitoa maelezo kwa Allan Kijazi Mkurugenzi wa Shirika la hifadhi
za taifa TANAPA wakati akikagua eneo maalum la kulenga shabaha katika ufungaji
wa mafunzo hayo kulia ni Dr. Christopher Timbuka mhifadhi mkuu wa Ruaha Nation
Park.
Comments