KING CLASS MAWE ALIVYO MSAMBALATISHA BAUNSA WA MOROGORO



Bondia Patrick Kavako 'Baunsa wa Morogoro akiwa chini hoi baada ya kupata kipondo toka kwa Ibrahimu Class 'King Class Mawe' katika raundi ya tatu Class alibuka mshindi kwa KO picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Refarii Omari Yazidu akimwinua mkono juu bondoa Ibrahimu Class 'King CLass Mawe' kuwa mshindi baada ya kumuangusha bondia Patrick Kavako'Baunsa' wa morogoro katika raundi ya tatu. picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Patrick Kavako 'Baunsa' wa morogoro wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Class alishinda kwa KO ya raundi ya tatu picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


Bondia Mariam Abdallah kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Lulu Kayage wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita Kayage alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


Lulu Kayage Kushoto akioneshanas ufundi wa kutupiana Makonde na MariamuAbdallah wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita lulu alishina kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia lulu Kayage akinyooshwa mkono juu baada ya kushinda

Mabondia Chipkiz wa kike kushoto Lulu Kayage na Mariamu Abdallah kulia wakiwa na viongozi wa ngumi nchini Ibrahimu Kamwe na Emanuel Mlundwa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*