LUNYAMILA, MKANDAWILE, NEMES, MWALALA, NSAJIGWA, MATOLA WAHUDHURIA KOZI YA UKOCHA

Mkufunzi wa TFF Rogasian Kaijage akiwapa maelekezo.
Lunyamila akionyesha 'DEMO'


Shadrack Nsajigwa,Selemani Matola na Mohammed Hussein 'Chinga' wakimsikiliza kwa makini mkufunzi Rogasian Kaijage.
Meneja wa Azam FC Jemedari Said pia naye yupo.


Seleman Matola mwenye jezi nyekundu,katikati ni kiungo wa zamani wa Yanga Ngade Chabanga pamoja Steven Nyenge wakiwa kwenye mafunzo ya vitendo..
Ibrahim Masoud 'Maestro' pia yupo...




Makipa wa zamani Steven Nemes,Moses Mkandawile,Shadrack Nsajigwa na Benard Mwalala.

Mshambuliaji wa zamani wa Simba Bakary Idd,Mimi mwenyewe,Matola na Mwalala.
Majina ya wanaohudhuria kozi ya ngazi ya kati (intermediate) inayofundishwa na mkufunzi Rogasian Kaijage kwenye viwanja vya Harbours Club, Kurasini.
1. Abdallah K. Mohamed
2. Abdulmalick Nemes
3. Adam Juma
4. Akida Said
5. Ally Yusuph
6. Athuman Kipao
7. Bakari Idd
8. Barton Msengi
9. Bernard Mwalala
10. Chaurembo Shomari
11. Chiwanga A. Chiwanga
12. Daniel Stephen
13. David Wiliam
14. Edgar Katembo
15. Edibily Lunyamila
16. Emanuel Gabriel
17. Fredrick Mwasombola
18. Grayson Swai
19. Hassan Msonzo
20. Herry Allen
21. Herry Kaiza
22. Ibrahim Masoud
23. Iddy Abubakari
24. James Changarawe
25. Jemaderi Said
26. Jeremia Dickson
27. Kassango Pascal
28. Medard Rwezaura
29. Mohamed Hussein
30. Moses Mkandawile
31. Mtweve Abel
32. Muhibu Kanu
33. Mwanamtwa Kihwelo
34. Nevelin Kanza
35. Ngade Chabanga
36. Omari Ally
37. Omari Kafufi
38. Omari Mbarouk
39. Omary Mohamed
40. Omega Ruzwiro
41. Rahel Pallangyo
42. Rajab Mohamed
43. Ramadhan Juma
44. Renatus Bernard
45. Richard Mbuya
46. Samwel Moja
47. Seleman Matola
48. Shadrack Nsajigwa
49. Shaffih Dauda
50. Shiza Mapunda
51. Steve Nyenge
52. Wambura Gaspar
53. Zubery Katwila
54. Zulkifri Iddi
55. Zulu Tosiri

Kwa hisani ya : pallangyor.blogspot.com

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.