MAHAKAMA KUU KANDA YA MBEYA YATUPILIA MBALI KESI YA UBAKAJI

Mshitakiwa Isambi Mwazembe muda mfupi baada ya Mahakama kutupilia mbali kesi yake ya ubakaji
Mshitakiwa Isambi Mwazembe akiwa haamini kama kesi yake imeisha 

Mshitakiwa Isambi Mwazembe akiwa mwenye Furaha baada ya kesi yake kwisha 


Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imemwachia huru Mshitakiwa wa kosa la ubakaji aliyekuwa amehukumiwa kutumikia kifungo cha miak 30 na Mahakama ya Wilaya.
Mtuhumiwa huyo Isambi Mwazembe (29) alidaiwa kutenda kosa hilo Mwaka 2003 ambapo baada ya kukutwa na hatia alihukumiwa kifungo hicho kasha kutumikia kifungo miaka minne kabla ya Mahakama kuu kumwachia huru baada ya kukata rufaa.
Akipitia rufaa iliyoletwa mahakamani hapo Jaji Atuganile Ngwala amesema sababu kubw iliyosababisha atengue kifungo hicho ni kipengele kilichotumiwa na mahakama ya chini kuwa hakikufanywa kisheria.
Amesema kipengele kilichotumika ni kwamba Mahakama hiyo ilipokea PF 3 kutoka kwa mhanga wa kosa ilo badala ya kupokea kutoka kwa Daktari  aliyemfayia vipimo kama kielelezo.
Pia amesema katika maelezo ya daktari yanadai binti huyo kubakwa baada ya kukutwa na michubuko na damu sehemu zake za siri licha ya kumkuta na Bikra kitendo lichodai kuwa sentensi hiyo haikuwa na uhkika.  

PICHA NA MBEYA YETU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.