MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WANANCHI KUJIUNGA NA NHIF,CHF,TIKA WAFANA PWANI

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza, akihutubia katika mkutano wa wadau wa kuhamasisha wananchi kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Biama ya Afya mkoani Pwani leo.

Baadhi ya wadau wakiwa katika mkutano huo


Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emmanuel Humba akielezea mikakati mbalimbali ya kuboresha mfuko huo nchini

Mratibu wa NHIF Mkoa wa Pwani,Andrew Mwilungu akiwakaribisha wadau kwenye mkutano huo muhimu wa uboreshaji sekta ya afya kwa wananchi kujiunga NHIF,CHF pamoja na TIKA mkoani
Humba akimshukuru Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza kwa nasaha zake alizozitoa wakati wa ufunguzi wa mkutano huo wa wadau ambao ulihudhuriwa na watendaji wakuu wa kutoka wailaya zote za mkoa huo wakiwemo na wabunge.
Mbunge wa Kibiti, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wabunge Mkoa wa Pwani, Abdul Marombwa akitoa shukrani kwa mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Pwani kwa hotuba yake pamoja na ujio wa NHIF  mkoani humo.
Baadhi ya wakuu wa wilaya za Mkoa wa Pwani, wakiwa katika mkutano huo. Kutoka kulia ni, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,Ahmed Kipozi na Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Nurdin Babu
Baadhi ya watendaji wa wilaya za mkoa wa Pwani wakiwa katika mkutano huo.
Baadhi ya wadau wakihudhuria mkutano huo.
 Mmoja wa wadau wa mkutano huo akihudumiwa na maofisa wa NHIF
Viongozi wa NHIF, CHF wakiwa pamoja na wadau kwenye mkutano huo
 Ofisa Uhusiano na Elimu kwa Umma wa NHIF, Grace Kisinga (kulia) akiratibu mkutano huo. Kutoka kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Hamis Mdee na Mratibu wa NHIF Mkoa wa Pwani, Andrew Mwilungu.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NHIF, Eugen Mikongoti, akifafanua jambo wakati wa mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*