MTOTO WA MNADHIMU WA JWTZ MBARONI KWA MAUAJI




Mama mmoja ajulikanae kwa jina la Magreth Simon Nkwera ambae ni mtoto wa kwanza wa mnadhimu mkuu wa kwanza wa JWTZ Brig Gen Simon Nkwera amekamatwa kwa Mganga wa kienyeji kulia akijaribu kutekeleza jaribio la kuwauwa baadhi ya watoto wa mumewew na baadhi ya ndugu zake huko kibaha maili moja mkoani Pwani na hivi sasa yupo katika kituo cha polisi Maili moja akisubiri kupandishwa kizimbani.(picha na Jabir Mking'imle)

 

MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA MKURUGENZI KILOLO YAKIENDELEA NJE YA CHUMBA CHA MAITI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA IRINGA-LIVE

Marehemu Mohamed Ngwalima aliyeshika kitabu enzi za uhai wake

Marehemu Mhamedi Ngwalima kutoka kulia akipeana mkono na mkuu wa wilaya ya kilolo Mh.Gerad Guninita


kaimu mkurugenzi wa wilaya ya kilolo akiteta jambo na mwenyekiti wa halimashauri









 Watumishi  wa  Halmashauri ya  Kilolo na  wananchi mbali mbali  wakiwa  katika Hospital ya  mkoa  wa  Iringa  wakisubiri  kuaga mwili  wa mkurugenzi  wao
 Mwanasheria  wa mkoa  wa Iringa Bw Paul Lekamoi akiwa na  waombolezaji  wengine
 Mratibu  wa  Sensa mkoa  wa Iringa kulia akiwa na waombolezaji  wengine
 Mwenyekiti  wa Halmashauri ya  Kilolo Joseph Muhumba  kulia akiwa na kaimu mkurugenzi wa Kilolo
 Kamanda  wa  polisi mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi akiwa katika msiba  huo hii kweli ni polisi jamii

   MAREHEMU MOHAMED SAID NGWALIMA
   Marehemu alizaliwa tarehe 16 februari 1957 ikwiriri rufiji na kupata elimu ya sekondari kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne katika shule ya sekondari same kuanzia mwaka 1978-1980 alipata elimu ya kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari shinyanga
   mwaka 1980 mpaka 1981 alitumikia taifa katika jeshi la kujenga taifa kabla ya kujiunga na masomo ya shahada ya uchumi katika chuo kikuu cha dar es salaam,sgahada aliyotunukiwa mwaka 1986
  Mara baada ya kutunukiwa shahada ya uchum i mwaka 1986,aliajiriwa kama mchumi katika halimashauri ya wilaya ya Mtwara.
 Al;itumikia taifa katika maeneo mbalimbali kama mchumi mpaka mwaka 2007 alipoteuliwa kuwa mkurugenzi mtendaji wa halimashauri ya wilaya ya Mbulu.
  Mwaka 2012 alihamishiwa katika halimashauri ya wilaya ya Mtwara na mwaka huu 2013 alihamishiwa katika halimashauri ya wilaya ya kilolo ambako amekuwa mkurugenzi mtendaji wa halimashauri hiyo mpaka mauti ilipo mfika tarehe 25/06/2013 saa 1:15 jioni katika nyumba aliyokuwa anaishi na familia yake ilyopo karibu na ofisi za halimashauri hiyo
MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA