NAPE AITEKA DONGO BESH NA BASHNET


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye akipata mapokezi ya kichama alipowasili kwenye kata ya Dongo besh.
 Wazee wa kimila wakifanya ibada ya kimila kabla ya kuanza kwa mkutano wa kampeni za Udiwani Dongo besh.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akihutubia wakazi wa kata ya Dongo besh na kuwaambia wakati ndio huu kwa wao kuchagua kiongozi atakaye wafaa kwa kuleta maendeleo yao.
 Mgombea wa udiwani wa Dongo besh, Joseph almaarufu Cheng Lee akihutubia wakazi wa eneo hilo.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimsikiliza mkazi wa  Dongo besh aliyeamua kurudisha kadi ya Chadema  na kurejeaa CCM,baada ya kuelewa yale aliyokuwa akihutubia Nape.
 Mtoto huyu hakuwa nyuma kufuatilia mkutano wa kampeni za udiwani kwa tiketi ya CCM kata ya Dongo besh.
 Wakazi wa Dongo besh wakiwa juu ya mti kabisa kusikiliza sera za CCM.
 Umati mkubwa wa wakazi wa Dongo besh wakimsikiliza kwa makini Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi kwenye mkutano wa kuhitimisha kampeni za udiwani zilizofanyika Dongobesh
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akishiriki kucheza ngoma ya wenyeji wa Dongo besh mara baada ya kumaliza kuhutubia na kufunga kampeni za kugombea kiti cha udiwani.


BASHNET
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu ( Uwekezaji na Uwewezeshaji) Dk. Marry Nagu.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akisalimiana na Mbunge wa Babati Vijijini  , ndugu Jitu Soni .


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa Nape Nnauye akisalimiana na mbunge wa Simanjiro Christopher Ole Sendeka.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akihutubia wakazi wa Bashnet wwakati wa kuhitimisha mikutano ya kampeni za udiwani.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha mgombea wa kiti cha udiwani kwa tiket ya CCM, Ndugu Nicodemus Gwandu.


 Mbunge wa Babati Vijijini, Jitu Soni akiwa pamoja na wananchi wa jimbo lake wakati wa mkutano.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimjulia hali mama mzazi wa Laurent Tara.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI