Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT-Taifa), Mary Chatanda (katikati) akiwa na Kamisaa wa Sensa Tanzania, Anne Makinda (kulia) pamona na Katibu Mkuu wa UWT, Jokate Mwegelo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani wanawake kutoka mikoa 11 kwenye Ukumbi wa Kilimani jijini Dodoma Machi 25, 2024. Akizungumza katika mafunzo hayo amepata wasaa wa kuelezea mafanikio lukuki ya uongozi wa miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiwemo ukamilishaji wa ujenzi wa Ikulu ya Dodoma, ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR, Daraja la Busisi Mwanza lililofikia asilimia 80, Bwawa la Mwalimu Nyerere, mradi wa mabasi ya mwendokasi (BRT) na mengine mengi. Chatanda akisisitiza jambo Katibu Mkuu wa UWT, Jokate Mwegelo akisema neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wake, Chatanda. Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma, Neema Majule akisema neno la ukaribisho mkoani humo kwa wajumbe wa mafunzo hayo. Kamisaa wa Sensa Tanzania, Anne Makinda akihutubia wakati wa mafunzo hayo. Baadhi y madi
Comments