REDD’S MISS KINONDONI 2013 KUFANYIKA KATIKA HOTELI YA GOLDEN TULIP JIJINI DAR
Mshindi wa 4 na tano; watapata
uthamini wa masomo ya kompyuta ya miezi sita. Mshindi wa nne atapata pia pesa
taslimu laki mbili na nusu na wa 5 laki moja na nusu.Washiriki wengine wote
watapata kifuta jasho cha shilingi laki mbili kwa kila
mmoja.
Mashindano ya Redd’s Miss
Kinondoni 2013 yanatarajia kufanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip
siku ya Ijumaa 21 June 2013. Viingilio katika onyesho hilo ni shs. 60,000 VIP,
shs. 25,000 kwa tiketi za kawaida na meza ya watu ukitazama
zawadi.
Mashindano ya Redd’s Miss
Kinondoni yanatarajiwa kufanyika June 21, huku walowa yamedhaminiwa na Redd’s
Original, Chilly Willy Energy Drink, Oriflame Natural Beauty Products, Times Fm,
JB Belmonte Hotel, Michuzi Media Group, Michuzijr Blog, Mtaa Kwa Mtaa Blog,
Fullshangwe Blog, Mrokim Blog, SufianMafoto Blog, Global Publisher, Mdimuz Blog,
Lukaza Blog, MO Blog, DjChoka Blog na Kajunason
Blog.
Muonekano wa warembo wa Redd’s
Miss Kinondoni 2013
Kila mmoja akiwa na furaha na
bashasha.
Baada ya mkutano na waandishi wa
habari warembo walipata nafasi ya kutembelea ofisi za wadhamini wao ambao ni
Oriflame Natural Beauty Products zilizopo jengo la Mkapa jijini Dar es Salaam,
na hapo waliweza kupata semina ya kuelezewa jinsi vipodozi vyao vinavyofanya
kazi kama pichani unavyoona mwezeshaji akitoa somo kwa
warembo.
Mmoja ya warembo wa Redd’s Miss
Kinondoni 2013 akiuliza swali kwa mwezeshaji.
Kila mrembo akijaribu kuweka kumbu
kumbu kwa yale waliyokuwa wakifundishwa
Comments