Mbwana Samatta
Wachezaji
wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inayodhaminiwa na
Kilimanjaro Premium Lager kutoka kulia Athumani Iddi 'Chuji', Amri
Kiemba na Nadir Haroub 'Cannavaro' wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Julius
Nyerere asubuhi ya leo kutokea Morocco walipokwenda kucheza na wenyeji
na kudungwa 2-1 katika mechi ya Kundi C kuwania tiketi ya kucheza
Fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Brazil. Stars ilifungwa 2-1 bao
lake likifungwa na Kiemba.
Wachezaji
wanatoka Uwanja wa Ndege na kuelekea kambini Tansoma Hotel, kuanza
maandalizi ya mchezo ujao dhidi ya Ivory Coast wikiendi ijayo
Wanapanda basi kuelekea kambini.Picha Zote na Habari na Bin Zubery
Comments