UJENZI WA BARABARA YA CHUNYA UNAENDELEA KWA KASI KUBWA .

Ujenzi wa Barabara ya Mbeya kuelekea Chunya , hili ni eneo Maarufu kona ya Mkoa

 
Barabara ya kiwango cha Rami kutoka Mbeya kuelekea Chunya eneo la Chalangwa
Ujenzi wa Barabara ukiendelea 
 Moja ya Gari likitoka Mbeya kuelekea Chunya
 Ujenzi ukiendelea kwa kasi katika eneo hilo.
 Mmoja wa wadau akiwa katika eneo ambalo Barabara hiyo inatengenezwa
Hili ni eneo ambalo lilikuwa ni kikwazo kikubwa kabla ya kujengwa na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wasafiri.



Wananchi Wilayani Chunya mkoani Mbeya waipongeza Serikali kwa kuharakisha ujenzi wa barabara  kutoka Mbeya, kuelekea Chunya  ambapo barabara hiyo inatarajiwa kuunanisha Mkoa wa Mbeya na mikoa ya jirani Singida, Dodoma na Tabora mara baada ya kukamilika kwake.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema kuwa kwa sasa barabara hiyo inawapa matumaini makubwa kutokana na kasi kubwa ya ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya Kichina.

Hata hivyo wameelezea wasiwasi wao juu ya wamiliki wa vyombo vya usafiri wa abiria vinavyo tumika kwa sasa kukosa soko kutokana na ujenzi wa barabara hiyo.



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.