Umoja wa Watanzania Ujerumani (U.T.U ) Kushiriki katika Festival ya "BrΓΌderschaft der vΓΆlker " mjini Aschaffenburg " Ujerumani litakaloanza Julai 19 hadi 21, 2013
Mhe. Mfundo, Mwenyekiti wa UTU. |
Watayarishaji
wa Festival ya "BrΓΌderschaft der vΓΆlker " mjini Aschaffenburg, nchini
Ujerumani wameuhalika Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) kushiriki
katika maonyesho hayo utamaduni wa nchi mbali mbali yatakayoanza 19 hadi
21 Julai 2013.
Watayarishaji wa maonyesho hayo wamevutiwa sana na shughuli za Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) kwa juhudi zake za kuitangaza Tanzania.
Watayarishaji wa maonyesho hayo wamevutiwa sana na shughuli za Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) kwa juhudi zake za kuitangaza Tanzania.
Wandaaji hao, wametoa nafasi kwa umoja wa watanzania kushiriki na kuitangaza Tanzania kwa kasi zaidi.
Mwenyekiti wa UTU, Bw. Mfundo Peter Mfundo ameupokea mwaliko huo kwa mikono miwili na amewaomba Watanzania wote wanaoishi Ujerumani kujitokeza kwa wingi katika maonyesho hayo na kuitumia nafasi waliyopewa kwa maslahi ya Tanzania na Watanzania ambapo Umoja wa Watanzania (UTU) utakuwa na banda lake katika maonyesho hayo.
Mnakaribishwa wote na kwa maelezo zaidi wasiliana na kamati.utu@googlemail.com pia unaweza kutembelea link ya maonyesho at http://www.bruederschaft-der-voelker.de/2013/05/29/union-of-tanzanians-in-germany/
Mwenyekiti wa UTU, Bw. Mfundo Peter Mfundo ameupokea mwaliko huo kwa mikono miwili na amewaomba Watanzania wote wanaoishi Ujerumani kujitokeza kwa wingi katika maonyesho hayo na kuitumia nafasi waliyopewa kwa maslahi ya Tanzania na Watanzania ambapo Umoja wa Watanzania (UTU) utakuwa na banda lake katika maonyesho hayo.
Mnakaribishwa wote na kwa maelezo zaidi wasiliana na kamati.utu@googlemail.com pia unaweza kutembelea link ya maonyesho at http://www.bruederschaft-der-voelker.de/2013/05/29/union-of-tanzanians-in-germany/
Comments