WAKUU WA MIKOA NA WILAYA WAHUDHURIA MAFUNZO UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ILI KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA MJINI DODOMA

Mhe. Mizengo Pinda, akifungua Mafunzo ya Wakuu wa Mikoa,Maafisa Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya (hawamo pichani) kuhusu Mfumo  Mpya wa Usimamizi  na Ufuatiliaji wa Miradi ya Maendeleo ili Kupata Matokeo Makubwa Sasa Mjini Dodoma .Wakuu wa Mikoa na Wilaya TanzanSSSSia Bara wanahudhuria mafunzo hayo ili wawe na uwezo wa kufanya tathmini na kufutilia utekelezaji wa Miradi ya maendeleo. (Caption 393) IMG_0416 
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (waliokaa katikati)  akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Mikoa wanaohudhuria mafunzo ya tahtmini na ufutiliaji wa Miradi ya maendeleo ili kuleta matokeo ya haraka sasa katika ukumbi wa Dodoma Hotel jana asubuhi.
Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wakiwa katika mkutano huo IMG_0551 
Waziri wa Maji Prof.Jumanne Maghembe akishuhudia  kutiliana kwa saini ya
                                mkataba wa  makubaliano ya utendaji  kazi kati ya Wakuu wa Mikoa na Mkatibu
                                Tawala wa Mikoa juu ya usimamizi wa miradi ya maji.Wa kwanza kulia aliyesima ni
                               Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Eng.Christopher Sayi. Wakuu wa Mikoa na Makatibu
                              Tawala wametilianna saini mikataba hiyo ili kuhakikisha kuwa wanafutilia kwa karibu
                             Maendeleo ya Miradi ya Maji katika Mikoa yao.
Waziri wa Maji Prof.Jumanne Maghembe akishuhudia  kutiliana kwa saini ya
   mkataba wa  makubaliano ya utendaji  kazi kati ya Wakuu wa Mikoa na Mkatibu
        Tawala wa Mikoa juu ya usimamizi wa miradi ya maji.Wa kwanza kulia aliyesima ni
            Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Eng.Christopher Sayi. Wakuu wa Mikoa na Makatibu
             Tawala wametilianna saini mikataba hiyo ili kuhakikisha kuwa wanafutilia kwa karibu
                             Maendeleo ya Miradi ya Maji katika Mikoa yao.
IMG_0593 
Waziri wa Maji Prof. Jumanne Maghembe  na Naibu Waziri wa Maji Dr. Binilith Mahenge
               wakiwa na nyuso za furaha baada ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala kutiliana saini
             mikataba ya utekelezaji wa miradi ya Maji katika mikoa yao kwa kushirikana na Wakuuwa Wilaya
            ili kuleta matokeo ya haraka na makubwa (Big Results Now)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.