Wanafunzi wa Chuo cha Dar es Salaam City College watinga viwanja vya bunge.

 Wanafunzi wa Chuo cha Dar es Salaam City College(DACICO) wakisalimiana na Mheshimiwa Mbunge Jimbo la Kinondoni Idd Azan,(kati) mjini Dodoma, mara baada ya kuwasili kwenye Viwanja vya Bunge kwa ajili ya Kikao cha Bunge Mwishoni mwa Juma
Mheshimiwa Mbunge Jimbo la Kinondoni Idd Azan,(mbele) akiwaongoza Wanafunzi wa Chuo cha Dar es Salaam City College(DACICO) kuingia Katika Jengo la Bunge Mjini Dodoma  mara baada ya kuwasili  kwa ajili ya kuhudhuria Kikao cha Bunge Mwishoni mwa Juma(Picha kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA