Wanafunzi wa Chuo cha Dar es Salaam City College watinga viwanja vya bunge.
Wanafunzi
wa Chuo cha Dar es Salaam City College(DACICO) wakisalimiana na
Mheshimiwa Mbunge Jimbo la Kinondoni Idd Azan,(kati) mjini Dodoma, mara
baada ya kuwasili kwenye Viwanja vya Bunge kwa ajili ya Kikao cha Bunge
Mwishoni mwa Juma
Mheshimiwa
Mbunge Jimbo la Kinondoni Idd Azan,(mbele) akiwaongoza Wanafunzi wa
Chuo cha Dar es Salaam City College(DACICO) kuingia Katika Jengo la
Bunge Mjini Dodoma mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kuhudhuria
Kikao cha Bunge Mwishoni mwa Juma(Picha kwa Hisani ya Miss Demokrasia
Tanzania).
Comments