Kuna mdau katika utafiti wake wa kichokozi amegundua kuwa kuna maneno ambayo
asilimia kubwa ya Wanawake wanapendelea sana kuwaambia Wanaume.
Hapa ametaja Baadhi….
1- Kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...sasa unaniona sina maana tena.
2- Wewe unataka kunichezea tu. Hauna malengo na mimi
3- Ni kipi hasa kinachokufanya uniringie?
4- Nataka unipe pesa leo, lazima nisolve hii problem leo siwezi kusubiri kesho.
5- Wakati ulipokuwa hauko na mimi ulikuwa ukimmega nani?
6- Katika Wanaume na wewe Mwanamme? Una nini hasa cha kunishtua?
7- Hivi hautaniumiza moyo wangu kweli?
8- Hivi ni kweli utanioa?
9- ktk wanaume na wewe mwanaume! Kwanza mwanaume suruali!
10- Hautakuja kupata mwanamke kama mm ktk maisha yako.
11- Nyie wanaume wasiku hizi hamuaminiki
12- Wee jishaue...unadhan mwaume ukopekeako
13- ..……………………………Endeleza List
Hapa ametaja Baadhi….
1- Kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...sasa unaniona sina maana tena.
2- Wewe unataka kunichezea tu. Hauna malengo na mimi
3- Ni kipi hasa kinachokufanya uniringie?
4- Nataka unipe pesa leo, lazima nisolve hii problem leo siwezi kusubiri kesho.
5- Wakati ulipokuwa hauko na mimi ulikuwa ukimmega nani?
6- Katika Wanaume na wewe Mwanamme? Una nini hasa cha kunishtua?
7- Hivi hautaniumiza moyo wangu kweli?
8- Hivi ni kweli utanioa?
9- ktk wanaume na wewe mwanaume! Kwanza mwanaume suruali!
10- Hautakuja kupata mwanamke kama mm ktk maisha yako.
11- Nyie wanaume wasiku hizi hamuaminiki
12- Wee jishaue...unadhan mwaume ukopekeako
13- ..……………………………Endeleza List
Comments