Gari lililobeba mwili wa aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, marehemu Albert Mangwea likisukumwa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam leo baada ya kuwasili kutoka Afrika Kusini alikopatwa na mauti, kwenda kuhifadhiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es Salaam, kabal ya kuagwa kesho kwenye viwanja vya Leaders.
Umati wa wananchi waliojitokeza kuupokea mwili wa Mangwea
Msafara ukielekea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambako mwili wa Mangwe utahifadhiwa leo. (PICHA KWA HISANI YA MICHUZI BLOG)
Umati wa wananchi waliojitokeza kuupokea mwili wa Mangwea
Msafara ukielekea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambako mwili wa Mangwe utahifadhiwa leo. (PICHA KWA HISANI YA MICHUZI BLOG)
Comments