WENGI WAJITOKEZA MKUTANO WA KINANA MAKAMBAKO

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wapya wa CCM baada ya kuwakabidhi kadi, katika mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Polisi, Mjini Makambako, wakati wa ziara ya kuimarisha  chama hicho. (PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)
 Kinana akilakwa kwa bashasha na mmoja wa wanachama wa CC,M baada ya msafara wake kuwasili Makambako, wakitokea Njombe kwa kazi za kuiamarisha uhai wa CCM.
 Kinana akiweka jiwe la msingi jingo la CCM Tawi la Mizani, mjini Makambako
 Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCVM, Nape Nnauye.
 Mtoto akiwa na shauku ya umuona Nape Nnauye alipokuwa akihutubia mkutano huo wa hadhara
 Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Njombe, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Njombe Kaskazini, Deo Sanga, akihutubia

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akihutubia.

 Kinana akimkabidhi kadi Jane Mlawa aliyejinga na CCM katika mkutano huo.kwa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.