Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wapya wa CCM baada ya kuwakabidhi kadi, katika mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Polisi, Mjini Makambako, wakati wa ziara ya kuimarisha chama hicho. (PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)
Kinana akilakwa kwa bashasha na mmoja wa wanachama wa CC,M baada ya msafara wake kuwasili Makambako, wakitokea Njombe kwa kazi za kuiamarisha uhai wa CCM.
Kinana akiweka jiwe la msingi jingo la CCM Tawi la Mizani, mjini Makambako
Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCVM, Nape Nnauye.
Mtoto akiwa na shauku ya umuona Nape Nnauye alipokuwa akihutubia mkutano huo wa hadhara
Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Njombe, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Njombe Kaskazini, Deo Sanga, akihutubia
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akihutubia.
Kinana akimkabidhi kadi Jane Mlawa aliyejinga na CCM katika mkutano huo.kwa
Comments