BENDERA ATEMBELEA KIWANDA CHA KIBUKU CHA DARBREW DAR

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (kulia), akizungumza alipotembelea hivi karibuni Kiwanda cha Kibuku cha Darbrew, kilichopo Ubungo Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho, Kirowi Suma. Kulia ni Akoli Mbilinyi ambaye ni Ofisa Rasilimali Watu wa kiwanda hicho.
 Joel Bendera (kulia) akitembelea kiwanda hicho. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho. Kirowi Suma.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kibuku cha Darbrew Limited, Kirowi Suma (kushoto), akielezea mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera kuhusu utendaji wa kiwanda hicho. Bendera alitembelea hivi karibuni kiwanda hicho kilichopo Ubungo Dar es Salaam.
 Bendera akipata maelezo kuhusu uzalishaji bora wa kinywaji cha asili cha kibuku kiwandani hapo
 Bendera akiwa ndani ya kiwanda hicho kilichopo Ubungo karibu na Kituo Kikuu cha Mabasi
 Bendera akiwa na baadhi ya viongozi wa kiwanda hicho alipotembelea kiwanda hicho
Bendera akiondoka baada ya kumaziza ziara kiwandani hapo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.