MAZISHI YA DEREVA BODA BODA ALIYEKUFA KWA AJALI YATIKISA MJI WA IRINGA
Madereva piki piki (Bodaboda) mjini
Iringa wakiwa nje ya Hospital ya mkoa wa Iringa kwa ajili ya
kuchukua mwili wa dereva mwenzao Ayub Mgumba aliyefariki jana katika
Hospital ya rufaa ya mkoa wa Iringa kufuatia ajali ya pikipiki
Umati mkubwa wa madereva boda boda mjini Iringa wakiwa nje ya chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Iringa mchana huu
Mpiga picha MC akipiga picha ya marehemu kwa ajili ya kumbukumbu yake
Madereva wakijipanga kwa ajili ya kuanza safari ya kuelekea kijiji cha Lupalamwa jimbo la Kalenga kwa mazishi ya mwenzao huyo
Mwili wa marehemu Ayub Mgumba ukiwa bado wodini jana
Habari inakujia hivi punde
Umati mkubwa wa madereva boda boda mjini Iringa wakiwa nje ya chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Iringa mchana huu
Mpiga picha MC akipiga picha ya marehemu kwa ajili ya kumbukumbu yake
Madereva wakijipanga kwa ajili ya kuanza safari ya kuelekea kijiji cha Lupalamwa jimbo la Kalenga kwa mazishi ya mwenzao huyo
Mwili wa marehemu Ayub Mgumba ukiwa bado wodini jana
Ayub Mgumba enzi za uhai wake |
Comments