TUPO WILAYANI KILOLO KIKAZI ZAIDI , NI HALMASHAURI YENYE JENGO LA KISASA IRINGA NZIMA
Ofisi ya Halmashauri ya wilaya ya
Kilolo mkoa wa Iringa kama inavyoonekana kutokana na kujengwa kwa
kiwango cha kisasa zaidi ni ni ofisi pekee ya Halmashauri mkoani Iringa
inayoongoza kwa ubora
Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo linavyopendeza
Mwonekano kamili wa jengo hilo
Ofisi ya idara ya Maji wilaya ya Kilolo
Wananchi nao hawapo nyuma katika ujenzi wa nyumba za kisasa
Ofisi za mkuu wa wilaya ya Kilolo
Ofisi za ujenzi wilaya ya Kilolo
Comments