KUTOKA MAKTABA WAPIGANAJI KAZINI
Wanahabari kutoka vyombo mbali mbali vya habari wakitembea huku wakicheza muziki mjini Makambako mkoa wa Njombe baada ya kumaliza kazi ya ziara ya katibu mkuu wa CCM Taifa Salama katika mkoa wa Njombe na Ruvuma kutoka kulia ni Richard Mwaikenda, Slvanus Kigomba, Michuzi JR , John Bubuku , Aldoph Mbata ,Bakari Kimwanga na Said Mwishehe
Comments