BREAKING NEWS: WANAFUNZI WA LUTHERAN JUNIOR SEMINARY WAFANYA MAANDAMANO HADI KWA ASKOFU WA KKKT MOROGORO WAKIMTAKA KUMUONDOA NAFASI MKUU WA SHULE.
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Junior Seminari wakiwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wakimsikiliza Askofu wa Kanisa hilo, Jacob Mameo Ole Paulo (hayupo pichani) mara baada ya jumla ya wanafunzi 600 wa kidato cha kwan
za hadi sita kufanya
maandamano yaliyoanzia shuleni hadi ofisi za askofu yaliyoanza majira ya
saa 12 asubuhi wakimtaka kumuondoa kazini mkuu wa shule hiyo kwa madai
mbalimbali....Kwa habari zaidi endelea kutembelea Blog
JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
Comments