Hali ya Mandela imeimarika asema Bi. GRACA

Picha ya Nelson Mandela na maua iliyoachwa nje ya hospitali na watu waliofika kumfariji

Mke wa Nelson Mandela, Graca Machel amesema kwa sasa hana wasi wasi sana kuhusu afya ya rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini kama ilivyokuwa wiki chache zilizopita.
Bi Machel amesema hali ya Mandela inaendelea kuimarika kila uchao.
Mandela ambaye ni rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, mwenye umri wa miaka tisini na nne, anasemekana kuwa katika hali mahututi.
Mandela alilazwa hospitalini wiki tano zilizopita na hapo jana rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, alisema kuwa mwanaharakati huyo wa uhuru amesalia kuwa mpiganiaji mkubwa kama alivyokuwa miaka hasmini iliyopita.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.