JK, BILAL WASHIRIKI MAZIKO YA MGANGA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM DK. JUDITH MARO MAKABURI YA KINONDONI


FromMUHIDIN MICHUZI ToJohn Bukuku haki ngowi Ahmad Michuzi 22 More...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya Msiba wa marehemu Dkt, Judith Kahama, wakati alipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Upanga jijini Dar es salaam, leo Julai 11, 2013
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano w a Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji baadhi mume  wa marehemu, Profesa Maro,  wakati alipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Upanga jijini Dar es Salaam, leo Julai 11, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu Dkt. Judith Kahama, wakati alipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Upanga jijini Dar es Salaam leo Julai 11, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa na baba wa marehemu Sir George Kahama sambamba na viongozi wengine wakati walipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Upanga jijini Dar es Salaam leo Julai 11, 2013.
Gari lililobeba mwili wa marehemu likiwasili katika makaburi ya Kinondoni kwa mazishi
Mume wa marehemu Profesa Maro akiwa katika gari hilo na watoto wake
Profesas Maro akiwasili makaburini
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii akitoa mkono wa pole kwa Profesa Maro
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa mkono wa pole kwa mfiwa
Mama Salma Kikwete akitoa mkono wa pole
Mama Salma Kikwete akimpa pole binti wa marehemu
Rais Kikwete akitoa pole kwa mtoto wa marehemu
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa pole kwa wafiwa
Pole kwa wafiwa
Pole kwa wafiwa
Sehemu ya waombolezaji
Rais Kikwete akiongea na Profesa Maro, mume wa marehemu
Waombolezaji wakiwa mazishini
Sehemu ya waombolezaji
Watoto na ndugu wa marehemu
Sala ya mazishi
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa na ndugu wa marehemu
Padri Paul Haule akiongoza mazishi
Profesa Maro akiweka udongo kaburini
Wazazi wa marehemu wakiweka udongo kaburini
Mama Anna Mkapa akiweka udongo kaburini
Rais Kikwete na Mama Salma wakiweka udongo kaburini
Fred Maro akiweka udongo kaburini
Babu na bibi wakiweka udongo kaburini
Ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu mazishini
Padri Paul Haule akiongoza mazishi
Profesa Maro akiweka shada la maua kaburini
Watoto wa marehemu wakiweka shada la maua
Wazazi wa marehemu wakiweka shada la maua
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua kaburini
Mama Anna Mkapa akiweka shada la maua Kaburini
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadick akitoa heshima baada ya kuweka shada la maua kaburini
Babu na bibi wakiweka shada la maua kaburini
Sehemu ya waombolezaji
Waziri wa Afya na Ustawi wa jamii Dkt Hussein Mwinyi akiweka shada
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe akiweka saha la maua
Ndugu wa marehemu wakiweka shada la maua
Kaka na dada wa marehemu wakiweka shada
Kaka wa marehemu wakiweka shada la maua
Kaka wa mume wa marehemu na mkewe wakiweka shada la maua
Kaka wa marehemu na mkewe wakiweka shada
Kaka wa muwe wa marehemu na familia yake wakiweka shada
Kaka wa marehemu na mkewe wakiweka shada la maua
Kaka na mkwe wa marehemu wakiweka shada la maua
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiweka shada la maua
Ndugu wa marehemu wakiweka shada la maua
Mkuu wa hospitali ya Hindu Mandal Dkt Kaushik akiweka shada la maua
Madaktari wenzie marehemu wakiweka shada la maua kaburini
Dada wa marehemu akiweka shada la maua
Ndugu wa marehemu wakiweka shada la maua
madaktari ambao ni wana kwaya wakipeleka shada lao la maua kaburini
Msemaji wa familia akitoa shukrani zake baada ya zoezi la kuweka mashada ya maua kaburini. PICHA NA IKULU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*