MFUKO WA BIMA YA AFYA WAANZISHA MIFUMO MIWILI MIPYA
Na Elizabeth Ntambala wa matukiodaima.com ,Rukwa
MFUKO WA bima ya taifa NHIF umeanzisha mifumo
miwili ya mipya ya utoaji huduma za tiba kwa wagonjwa hususani wale
wanaoishi katika mazingira magumu ikiwa ni pamoja na kutoa mikopo ya
vifaa tiba kwa hospital na vituo vya afya vilivyosajiriwa na mfuko huo.
Mkurugenzi
wa tiba na ufundi wa mfuko wa bima ya afya Dkt Frank Lekey aliyasema
hayo wakati wa uzinduzi wa huduma za tiba zilizotolewa kwa muda wa siku
sita na madaktar bingwa toka hospital ya mifupa ya Moi hospital ya Taifa
muhimbili pamoja na wale wa hospitali ya rufaa Mbeya na wenyeji wao wa
mkoa wa Rukwa huku zoezi hilo likienda pamoja na utoaji wa vifaa tiba
kwa hospital hiyo ya sumbawanga mkoa Rukwa.
Kwa upande wake kaimu
mganga mkuu wa mkoa wa Rukwa Emmanuel Mtika Alisema licha ya kupongezwa
kwa mfuko huo wa bima ya afya kwa kusongeza huduma za matibabu kwa
wagonjwa ile hali mpango huo pia utaongeza na kuboresha kiwango cha
utoaji wa huduma za kitabibu kwa wakazi wa mkoa wa Ruwa.
Awali
akizindua mpango huo wa utoaji matibabu mwishoni mwa juma unaofanywa na
madaktar bingwa katibu tawala mkoa wa mkoa wa Rukwa Salum Chima kwa
niaba ya mkuu wa mkoa alisema mifuko ya afya ya jamii na ule wa bima ya
afya ni mkombozi wa upatikanaji wa matibabu ya uhakika na kuwataka
wananchi ambao hawajajiunga na mfuko kujiunga na kuona umuhumu sasa wa
kujiunga /
MFUKO WA bima ya taifa NHIF umeanzisha mifumo
miwili ya mipya ya utoaji huduma za tiba kwa wagonjwa hususani wale
wanaoishi katika mazingira magumu ikiwa ni pamoja na kutoa mikopo ya
vifaa tiba kwa hospital na vituo vya afya vilivyosajiriwa na mfuko huo.
Mkurugenzi
wa tiba na ufundi wa mfuko wa bima ya afya Dkt Frank Lekey aliyasema
hayo wakati wa uzinduzi wa huduma za tiba zilizotolewa kwa muda wa siku
sita na madaktar bingwa toka hospital ya mifupa ya Moi hospital ya Taifa
muhimbili pamoja na wale wa hospitali ya rufaa Mbeya na wenyeji wao wa
mkoa wa Rukwa huku zoezi hilo likienda pamoja na utoaji wa vifaa tiba
kwa hospital hiyo ya sumbawanga mkoa Rukwa.
Kwa upande wake kaimu
mganga mkuu wa mkoa wa Rukwa Emmanuel Mtika Alisema licha ya kupongezwa
kwa mfuko huo wa bima ya afya kwa kusongeza huduma za matibabu kwa
wagonjwa ile hali mpango huo pia utaongeza na kuboresha kiwango cha
utoaji wa huduma za kitabibu kwa wakazi wa mkoa wa Ruwa.
Awali
akizindua mpango huo wa utoaji matibabu mwishoni mwa juma unaofanywa na
madaktar bingwa katibu tawala mkoa wa mkoa wa Rukwa Salum Chima kwa
niaba ya mkuu wa mkoa alisema mifuko ya afya ya jamii na ule wa bima ya
afya ni mkombozi wa upatikanaji wa matibabu ya uhakika na kuwataka
wananchi ambao hawajajiunga na mfuko kujiunga na kuona umuhumu sasa wa
kujiunga /
Comments